EDUCATION
Mwanafunzi wa KCSE Afariki Dunia Akiwa Hospitalini Mombasa
Taarifa zinaonyesha kuwa marehemu, ambaye alikuwa anatoka Mombasa, alitafuta matibabu katika hospitali binafsi ya Bombolulu huko Kaloleni baada ya kuanza kuonyesha dalili za ugonjwa huo, kabla hali yake kuzorota



