courts
Mazungumzo ya Makubaliano Kati ya Obado na EACC Yavunjika
EACC iliambia mahakama kwamba ingawa kikao kilifanyika Oktoba 30 katika ofisi za DPP kama ilivyoelekezwa awali, mazungumzo hayo yaligonga mwamba baada ya pande husika kutofautiana katika tafsiri ya maagizo ya awali ya mahakama





