GENERAL NEWS
“Aliniahidi Helikopta”: Mashahidi Wafichua Mambo Mapya Katika Kesi ya Pastor Mackenzie
Alisema mwanawe mkubwa, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kibabii, alimuambia Mackenzie ni “mtumishi wa kweli wa Mungu” na akamshawishi wauze mali zao zote na kuhamia Shakahola wakiamini watakuwa matajiri





